Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

ONA HARUSI YA KWANZA KUFUNGWA NA WASHIRIKI WOTE WAKIWA WATUPU WA MNAYAMA


Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni,hapa bongoland na sehemu nyingi duniani kwa ujumla maharusi mara nyingihujipangia mavazi yao kwa
ajili ya siku ya harusi yao huku wakitumia gharama

nyingi kununulia nguo hizo kama mashela ya gharama na suti za maana na kali.Lakini huko New zealand hayo yote hayaitajiki kwan maharusi hufunga ndoa wakiwa watupu kabisa!!Hawa wanajiita Lowes’ Unclad wedding wakidai wanaonesha uhalisia katika nyanja hiyo.


Na wasimamizi wao nao mtindo ule ule!


kweli dunia it's about to end maana hivi sio vya kawaida hata kidogo...

0 comments:

Chapisha Maoni