Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

MAJONZI: BONDIA MAARUFU AAGA DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM JIONI YA JANA TAREHE 11/09/2013,


BONDIA Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto' amefariki dunia jioni ya jana akiwa mazoezini kwakwe maeneo ya kigogo mbrurahati Dar es salaa kifo hicho kilimkuta kwa gafla wakati akifanya mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa uliopangwa kufanyika hivi karibuni ata hivyo Tembo mtoto ametutoka taarifa za msiba huo zilizotolewa na kocha wake Kwame Mkuruma zinasema kuwa mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao manzese na huwenda akasafilishwa kwenda kuzikiwa kwao mkoa wa Tanga mungu ametoa na mungu ame twahaaa mbele yake nyuma yetu kazi ya
mungu aina makosa tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi tutakukumbuka daima milele Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto'
Mwenye rekodi ya kucheza michezo 7 ya ngumi za kulipwa akiwa ameshinda mara 4 na kupigwa mara moja na droo mara mbili Yohana alijiunga na ngumi za kulipwa mwaka 2011 ambapo mchezo wake wa kwanza kacheza na Seba Temba wa morogoro ambapo alitoa nae droo na mchezo wake wa mwisho kucheza ni tareha 9,8,2013 akimpiga kwa T,K,O ya raundi ya pili bondiaShujaa Keakea
Mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Friends Corner Hall, manzese Dar es -Salaam.

0 comments:

Chapisha Maoni