Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

TAZAMA PICHA ZAIDI YA 15 JINSI MASTAA WA BONGO MOVIE WALIVYOSHEHEREKEA 40 YA MTOTO WA ROSE NDAUKA...!!

Mtoto wa star mkubwa wa filamu nchini Rose Ndauka alitimiza arobaini tangu azaliwe. Mtoto huyo anaitwa Naveen na baba yake mzazi ni Malick Bandawe(Chiwaman) mwanamuziki wa Bongofleva ambaye ni mchumba wa Rose Ndauka. Mastaa mbalimbali walikuwepo kutoa sapoti kwa Rose kama picha zinavyoonekana hapo chini.
Rose ndauka na Mchumba wake wakiwa na mtoto wao,Naveen Bandawe





0 comments:

Chapisha Maoni