Pepo mbaya amezidi kuwatesa wanafunzi wa vyuo nchini kwa kujipiga picha za aibu tena kwa makusudi kisha kuzirusha kwenye mitandao kwa ajili ya kutafuta mabuzi ya kuyachuna.Picha nyingine zinadaiwa ni za mwanafunzi wa chuo kimoja mkoani Dodoma ambapo Blog hii bado inazama ndani zaidi ili kujuwa anasoma chuo gani na jina lake halisi ni nani kwa vile kwenye mitandao msichana huyo alijitambulisha kwa jina la Flora.Viongozi wa dini wametakiwa kuwaombea wanafunzi na wasichana wote wanafanya matukio kama hayo ya kujidhalilisha kwani huyo ni pepo mbaya ambae ni lazima akimewe ili asiendelee kuwaandama wanafunzi hao ambao taifa linawaandaa kuwa viongozi wa kesho.
PEPO MCHAFU AZIDI KUWAANDAMA WANAFUNZI DODOMA MWINGINE APIGA PICHA ZA UCHI MAKUSUDI NA KUZIRUSHA KWENYE MTANDAO ILI KUWATEGA WANAUME MAKUSUDI!
Pepo mbaya amezidi kuwatesa wanafunzi wa vyuo nchini kwa kujipiga picha za aibu tena kwa makusudi kisha kuzirusha kwenye mitandao kwa ajili ya kutafuta mabuzi ya kuyachuna.Picha nyingine zinadaiwa ni za mwanafunzi wa chuo kimoja mkoani Dodoma ambapo Blog hii bado inazama ndani zaidi ili kujuwa anasoma chuo gani na jina lake halisi ni nani kwa vile kwenye mitandao msichana huyo alijitambulisha kwa jina la Flora.Viongozi wa dini wametakiwa kuwaombea wanafunzi na wasichana wote wanafanya matukio kama hayo ya kujidhalilisha kwani huyo ni pepo mbaya ambae ni lazima akimewe ili asiendelee kuwaandama wanafunzi hao ambao taifa linawaandaa kuwa viongozi wa kesho.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)





0 comments:
Chapisha Maoni