Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

MSANII WA BONGO MOVIE AAMUA KUACHIA PICHA AKILIWA "DENDA" NA MSANII WA BONGO FLEVA LUTEN KARAMA..!! TAZAMA HAPA

Msanii wa maigizo na mwanamziki Bela Fasta aliyekuwa anaunda kundi la muziki wa Bongo fleva la Scopion girls lilokuwa na  memba watatu ambao ni Jack wa Chuz, Jini Kabula na Bela Fasta hivi majuzi kati aliamua kuachia picha mtandaoni akiwa analiwa DENDA na msanii aliyekuwa kundi la wanaume family Luten Karama ambaye inadaiwa wapo kwenye mapenzi mazito kupitiliza.

Bela aliamua kufanya hivyo ili kuiambia jamii kuwa sasa yeye ni mpenzi wa mtu na hiki ndicho anachofaidi katika mapenzi yake.


Tazama picha hizo hapa chini

0 comments:

Chapisha Maoni