Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

KATIKA MIKASA ILIYOMKUTA MWANADADA AUNT EZEKIEL NA KUWASHTUA MASHABIKI WAKE HUU HAPA NI FUNGA KAZI..!

Aunt Ezekiel. STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuanguka ghafla kwa presha akiwa ‘location’ jijini Tanga, Risasi Jumamosi lina habari hii.
Kwa mujibu wa chanzo, Aunt akiwa katika harakati za kuigiza filamu anayocheza na Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, ghafla alianguka na kukimbizwa katika Hospitali ya Gesha jijini humo.



Aunt Ezekiel akiwa hospitali amelazwa.Baada ya kuzipata habari hizi, mapaparazi wetu walimtafuta Aunt kwa njia ya simu na alipopatikana alikiri kuanguka kutokana na kusumbuliwa na presha ya kushuka.
“Kweli nilikuwa shutting na Mzee Majuto, ghafla nilianguka na kukimbizwa hospitali, wameniwekea dripu mkononi ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri,” alisema Aunt.


0 comments:

Chapisha Maoni