SWALA hili limekuwa sugu yani kila kukicha tunakemea kwa kulizungumzia picha za wadada hawa mitandaoni, Hapo mwanzoni tulihisi walighafilika maana hakuna binadamu aliyekamilika lakini kwa sasa tumegundua kuwa wanafanya makusudi,.. Wengi hujiuliza kuwa Bloggers wanapataje picha hizi? Ukweli ni kwamba picha hizi wadada hawa bila aibu huanza kuzitupia katika kurasa zao za facebook na hata Instagram wao wenyewe...
Sijui tunaelekea wapi na ulimwengu wetu maadili yamemomonyoka, Tunashindwa kuutumia utandawazi vizuri.
Onyo!
PICHA hizi hazina maadili kabisaaaa..! Hivyo kama unajijua hauna miaka
(18+) usibofye tafadhali, Ukijipendekeza kubofya tusilaumiane..
0 comments:
Chapisha Maoni