Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

18+ PICHAZ...LAANA+AIBU KUBWA...ZA UcHI ZA WASOMI WA CHUO KIKUU...KWELI DUNIA IMEFIKA TAMATI...!JIONEE MWENYEWE UPUMBAVU WA WASOMI WETU E.A...!

Ni wanafunzi watatu wa Kenyatta University Nchini Kenya,Njeri(21), Ayira(23) na Kerebi(25),Kwa pamoja wakiwa Ndani ya Chumba cha kulala kabla ya kutoka Out na Masugar-Daddy wao,walianza kupiga

picha za Nusu-uchi kwa ajili ya kuwatumia Masugar-daddy wao kwa ajili ya kuwadatisha zaidi.

Chanzo chetu cha kuaminika kutoka nchini Kenya(Wambui---Fan wa Udakubiz),kinasema kuwa Hawa Mademu zamani walikuwa wanaishi Ngong Hostels Bcoz walikuwa hawana enough Money ya kurent Nyumba nzuri ambayo walikuwa wanatamani kuishi.

Wakaamua kila mmoja atafute Sugar-Daddy ili waweze kupata Pesa za Kurent Nyumba Moja hivi ambayo iko maeneo ya Kiambu county.

Hizi picha zilikutwa kwenye laptop ya Njeri(huyo chick aliyevaa glasses).

0 comments:

Chapisha Maoni