Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

BAADA YA PQUARE KUONYESHA NYUMBA YAO SASA NI ZAMU YA HUYU STAR KUTOKA..

hh 
Siku mbili zilizopita kumekuwa na stor zinazo wahusu wasanii wawili wanaounda kundi la P Square kutoka Nigeria Peter and Paul kutambulisha nyumba zao mbili walizo nunua huko Atlanta Georgia Marekani na kuwa gumzo kila kona ya Africa lkn kwa upande wa area ya
255

Wanamuziki wa kizazi kipya wanaendelea kufanya mambo mazuri  kutokana na kipato wanachopata kwenye muziki.
Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
David amenunua nyumba hiyo ambayo ataifanyia ukarabati ilikufikia kiwango anachokitaka yeye na kuhamia baadae.
Hizi ni ndiyo picha alizo-share Young D leo asubuhi.
y3
y1
y2

0 comments:

Chapisha Maoni