Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

MREMBO BONGO MOVIE AENDA UINGEREZA KUJISHUGHULISHA NA BIASHARA ZAKE BAADA YA KUACHIA FILAMU YAKE MPYA.

Yuster Nyakachara asema baada ya kumaliza kazi yake MAJUTO SI HASARA anaenda uingereza kufatilia biashara zake, Wakati mashabiki wake wakiendelea kufurahia kazi zake. Hii ni
katika harakati ya kusaka mshiko.


0 comments:

Chapisha Maoni