
WITO umetolewa angalieni marafiki mnaokutana nao katika mitandao, hasa facebook itawamaliza wanawake.Soma majanga hayo.
Mwanafunzi mmoja wa Shahada ya Sheria kutoka Abuja amefikwa na Umauti baada ya kula kinachosadikiwa kuwa sumu. Imeelezwa kuwa binti huyo ali
toka chuoni na akamuaga room mate wake kwamba anakwenda kukutana na jamaa ambaye walikuwa wana chat kupitia facebook, ingawa alikatazwa lakini aliamua kwenda tu.
Asubuhi yake ndo mwili ukagundulika ukiwa umetelekezwa barabarani.
Mwanafunzi mmoja wa Shahada ya Sheria kutoka Abuja amefikwa na Umauti baada ya kula kinachosadikiwa kuwa sumu. Imeelezwa kuwa binti huyo ali
toka chuoni na akamuaga room mate wake kwamba anakwenda kukutana na jamaa ambaye walikuwa wana chat kupitia facebook, ingawa alikatazwa lakini aliamua kwenda tu.
Asubuhi yake ndo mwili ukagundulika ukiwa umetelekezwa barabarani.
0 comments:
Chapisha Maoni