Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

INASIKITISHA WATU WATANO WACHOMWA MOTO HADI KUFA HUKO GEITA SOMA HAPO.


RPC GEITA, LEONARD PAUL


Watu watano wameuawa baada ya kupigwa na kisha kuchomwa moto hadi kufa na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za kuvamia na
kuiba kwenye msiba nyumbani kwa mzee John Bulemeja Ibarabara huko Nyantorotoro A, Mkoani Geita.

0 comments:

Chapisha Maoni