Tukio hilo lilitokea rasmi jana kwenye
show ya Diamond pale leaders Club ambapo Diamond aliuliza msahabiki wake
kuwa ''Mntaka kumjua mchumba wangu?'' na ndipo baada ya muda mfupi
alipanda stejini mwanadada Wema Sepetu na kuanza kucheza na Diamond na
kukumbatiana naye kuonesha ishara ya penzi lao jipya hilo lililorudi kwa
kasi.
HATIMAYE:PENZI LA DIAMOND NA WEMA SI KIFICHO TENA..DIAMOND AMTAMBULISHA WEMA RASMI SOMA HAPO.
Tukio hilo lilitokea rasmi jana kwenye
show ya Diamond pale leaders Club ambapo Diamond aliuliza msahabiki wake
kuwa ''Mntaka kumjua mchumba wangu?'' na ndipo baada ya muda mfupi
alipanda stejini mwanadada Wema Sepetu na kuanza kucheza na Diamond na
kukumbatiana naye kuonesha ishara ya penzi lao jipya hilo lililorudi kwa
kasi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni