Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

HUWEZ AMINI MUNGU KAMPENDA ZAIDI TANZIA...!!! MUIGIZAJI WA FILAMU ZUHURA MAFTAH(MALISA) AFARIKI DUNIA...

Habari zilizotufikia ni kuwa muigizaji wa filamu nchini Zuhura  Maftah ambaye wengi wanamjua kama Malisa amefariki dunia. Bado hatujajua kilichosababisha kifo cha muigizaji huyo lakini 
tutakuletea updates zaidi. 
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, amen

0 comments:

Chapisha Maoni