Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

Wema Sepetu kuwatambulisha wasanii wake Jumapili hii, Bilicanas

CEO wa Endless Fame Films, Wema Sepetu anatarajia kufanya uzinduzi wa single za wasanii wake Mirror na Asali utakaofanyika Jumapili hiindani ya Club Bilicanas jijini Dar es Salaam. IMG-20130820-WA0001Uzinduzi wa nyimbo mbili mpya Mzuri ya Asali pamoja na Baby ya Mirror,utasindikizwa na wasanii wengine wakiwemo Barnaba,Country Boy,Nyandu Tozi,Linex,M2 the P ambapo Wema Sepetu atakuwamshereheshaji.IMG-20130820-WA0006Kiingilio kwenye uzinduzi huo ni shilingi 6,000.
IMG-20130820-WA0003

0 comments:

Chapisha Maoni