Pages

TUNAJIUSISHA NA HABARI ZA AINA ZOTE NDANI NA NJE YA BONGO VILEVILE TUNAKODISHA VYOMBO VYA MUZIKI NA P.A MAENEO YOTE YA JIJI LA MWANZA NA NJE YA JIJI LA MWANZA KARIBUNI SANA

HUYU NDO MKENYA ANAYEDAIWA KUWA DEMU WA DIAMOND PLATINUMZ ATUPIA PICHA ZA UTATA.

 Angel Maggie ni Mkenya ambaye wiki hii amepamba mitandao kadhaa ya nchini kenya akisemekana kuwa mpenzi wa mwanamuziki Diamond Platinumz ingawa Diamond mwenyewe bado hajaweka wazi kama ni kweli au lah! licha ya kwamba wanajuana muda sasa. Hata katika shows alizofanya Diamond hivi karibuni Nairobi na Mombasa alikuwa na Angel muda mwingi. Angalia picha zake mpya.......................



0 comments:

Chapisha Maoni